58-020 Kujitenga Mbali Na Mungu Aliye Hai (Ebr. 3:12-15)

Kujitenga Mbali Na Mungu Aliye Hai
- Key Text: Ebr. 3:12-15
- 58-020
- Neno Kuu: ἀφίστημι (aphistēmi): Kujitenga
UTANGULIZI
- Neno Kuu: ἀφίστημι (aphistēmi): Kujitenga
- Matumizi ya Neno “Departing”: Kujitenga
KUJITENGA NA MUNGU ALIYE HAI. (Ebr. 3:12)
- Angalieni,
- Ndugu Zangu,
- Usiwe Katika Mmoja Wenu Moyo Mbovu;
- Usiwe Katika Mmoja Wenu Moyo Wa Kutokuamini,
- Kwa Kujitenga Na Mungu Aliye Hai.
NASAHA KWA WALENGWA (Ebr. 3:13)
- Lakini Mwonyane Kila Siku,
- Maadamu Iitwapo Leo;
- Ili Mmoja Wenu Asifanywe Mgumu
- Kwa Udanganyifu Wa Dhambi.
UKUMBUSHO RASMI (Ebr. 3:14)
- Tumekuwa Washirika Wa Kristo,
- Tukishikamana Na Mwanzo Wa Uthabiti Wetu
- Kwa Nguvu Mpaka Mwisho;
TUFANYE NINI BASI? (Ebr. 3:15)
- Hapo Inenwapo, Leo,
- Kama Mtaisikia Sauti Yake,
- Msifanye Migumu Mioyo Yenu,
- Kama Wakati Wa Kukasirisha.
12 Angalieni, ndugu zangu, usiwe katika mmoja wenu moyo mbovu wa kutokuamini, kwa kujitenga na Mungu aliye hai.
13 Lakini mwonyane kila siku, maadamu iitwapo leo; ili mmoja wenu asifanywe mgumu kwa udanganyifu wa dhambi.
14 Kwa maana tumekuwa washirika wa Kristo, kama tukishikamana na mwanzo wa uthabiti wetu kwa nguvu mpaka mwisho;
15 hapo inenwapo, Leo, kama mtaisikia sauti yake, Msifanye migumu mioyo yenu, Kama wakati wa kukasirisha.