Yohana 14:1-3

MSIFADHAIKE MIOYONI MWENU
- Ijumaa: 5/6/2016
- Yohana 14: 1-3
Ufupisho Wa Somo
- Msifadhaike mioyoni mwenu;
- Mnamwamini Mungu,
- Niaminini na mimi.
- Nyumbani mwa Baba yangu mna makao mengi;
- Kama sivyo, ningaliwaambia;
- Maana naenda kuwaandalia mahali.
- Basi mimi nikienda na kuwaandalia mahali,
- Nitakuja tena niwakaribishe kwangu;
- Ili nilipo mimi, nanyi mwepo.